· MIKONDO
YOTE YA MAJI ILIYOPO CHINI YA ARDHI, CHANZO CHAKE NI BAHARI?
Makala na Stewart Meena. => [Twende Sawa]
1= Maji yaliyopo
karibu zaidi na uso wa dunia, huwa na uchafu mwingi (maji taka) ambapo Hayafai
kwa Matumizi ya Binadamu, maji haya mara nyingi #unapoyachimba hufaa tu kwa
matumizi ya Kufulia au kuogea na si safi kwa matumizi ya kunywa.
2= Eneo la Maji
linalofuatia, huwa ni maji safi lakini maji hayo huwa na Wingi wa magadi au
chumvi (maji chumvi) na hivyo hayana ladha kwa kuyanywa….
3= eneo la tatu, Yaani mbali zaidi na uso wa dunia
(km35-100) haya ndio #Maji_Safi na Salama kwa matumizi yakunywa kwani Hayana
Ladha ya chumvi wala Magadi…
#Mfano:
#AUSTRALIA Pekee: Inakadiriwa kwamba Zaidi ya Kilomita
Laki Tano (500,000) za Maji yasio na Chumvi yako chini ya Sakafu ya Bahari ya
Ulimwengu.
#Vicent mtaalamu wa Elimu ya maji wa Chuo Kikuu cha
#Flinders_Adelaide, anasema hivi: “Kuna wakati ambapo Usawa wa Bahari ulikuwa
chini zaidi kuliko vile ilivyo sasahivi” Hivyo Ufuo uliokuwepo wakati huo
Umemezwa na Maji.
Fikiria: #Mvua inaponyesha Ingejaza maji mpaka katika
Eneo lote Ambalo lipo chini ya Bahari, ingekuwaje (unapojifunza Recycling ya
Maji) yaani Maji #Kuchevushwa kutoka katika Vyanzo vya Maji na Nishati ya Jua,
na Kiasi cha mvuke wake Kupalizwa angani na kukutana na #Anga_Gesi (Nitrojen,
Sulfa, KabonDayoksaidi na Oksijeni) na kisha #Kugandishwa na kisha kunyesha
tena kama mvua#Duniani.
Hivyo Mvua inaponyesha katika Ardhi huingia chini ya Ardhi
na kukuta Mikondo ya Maji iliyopo chini ya Ardhi (Underground Wells &
Canals) na Mikondo hiyo husafirisha maji hayo hadi katika Bahari kuu na Pindi
jua linaponururishwa huyafukiza tena maji hayo kurudi tena Angani na kuwa mvua
tena…
SAYANSI DUNIA:
#Unajua Wanasayansi wanatumini kwamba kuhifadhiwa kwa
vyanzo vyote vya maji, kwa kuyaweka maji
katika sehemu salama kutoka Ardhini=>kwenda Bahararini=> kisha Angani na
kuwa Mvua tena, ndio sababu ya kuendeleza Uhai wa #WANADAMU.
Hivyo Kufanyizwa kwa sehemu hizo zilizoko chini ya
Bahari huenda Kungesaidia Watu wapatao Milioni-700 Ambao hawawezi kupata Maji
Safi na salama.
MIKONDO YA MAJI
CHINI YA ARDHI:
Mikondio yote iliyopo chini ya Ardhi, chanzo chake kikuu
ni bahari…
(huenda Ukajiuliza maswali kuwa Maji yawezaje Kupita
chini ya tabaka la Ardhi!?)
![]() |
|
Eneo
la Ufuo wa Maji (mkoani tanga) hapa ni mandhari katika maeneo ya Mto pangani
Tanga. Picha na Stewart Meena.
|
#MIAMBA LAINI YA STALACTICE: Ndio chanzo cha maji
kupenya chini ya Ardhi na kupata njia yake (mkondo) katikati ya Miamba hiyo na
kuanza safari Muda hadi muda, kuelekea Maeneo mengine..
| Hapa tukiwa (Ndani) katika mapango ya Amboni Taga Sehemu hii Wanapaita (Sehemu ya Kupakia Ngege kwani, Panaonekana Mfano wa Ngazi za Ndege, na Zimijitengeneza kuelekea juu. Picha na Stewart Meena |

No comments:
Post a Comment