Mvumbashi huwa na harufu (scent) flani hivi ambapo huponyesha kwa kuivuta tu, ila wengine huichemsha kwenye chai kama kiungo kwa harufu yake nzuri huongeza ladha ya chai.
Lakini pia ukichemsha yenyewe kwa kuchanganya na vifuatavyo hutibu maradhi kama:
1)-Kikohozi kwa watoto/mtu mzima.
Chukua majani yake yatwangwe changanya na maji ya vugu vugu kunywa kwa dozi ya 1*2.
2)-Homa ya Malaria
Majani haya yana antipyretic ambayo inaweza kutuliza homa kabisa na kuponesha malaria, Kama ni mpenzi wa chai chukua majani yake yasage kisha changanya na maji ya moto + asali kunywa kama chai.
3)-Kuhara na magonjwa ya tumbo
Majani hayo yana uwezo wa calming mfumo wa utumbo kwa kiwango kikubwa Sana.
4)-Kushusha sukari ya damu
Majani haya yanakinga ya saratani na cholesterol na kwa watu wenye kisukari hasa wasiotegemea insulin (NID) majani haya yanauwezo mkubwa wa kushusha sukari na kuilinda pancreas inayozalisha insulin kutoharibika.
5)-Kiungulia cha moyo.
Majani ya Scent yamekuwa yakitumika katika kutibu kabisa tatizo la kiungulia, kikohozi, kuhisi mwili vibaya, maumivu ya hedhi, homa, malaria, shida ya kupumua, ukosaji choo, kukosa hamu ya kula, Kichefuchefu na kuboost moyo tiba hii unaweza iyaanda na kuitumia kwa njia ya kunywa kama chai.
6)-Kuongeza maziwa kwa mjamzito.
Chukua majani hayo zaidi ya 20 yatafune na mboga zingine za majani yatasisimua mfumo wa utokaji wa maziwa kwa kiwango kikubwa
7)-Hufukuza mbali nzi na umbu, hii ni kwa kuyachoma majani yake, ule moshi wake mbu hulewa na kufa.
8)-Hupunguza nicotine inayopatikana kwenye sigara.
Kila baada ya kutumia sigara unachukua matawi kadha unatafuna ili kupunguza kiwango cha nicotine uliyovuta kwenye sigara.
Majani haya yanauwezo wa kupunguza mawazo Yani msongo wa mawazo, mawe kwenye figo.
9)-Hupunguza maumivu ya tumbo.
Majani haya ni zaidi ya vidonge vya aspirin au Panadol kutokana kuwa majani haya hayana side effects maana ni mimea asili.
Pia ni tiba ya kinywa na macho kutokana na kuwa na kiwango kikubwa cha vitamin A.
10)-Tiba ya kuwahi kukojoa na shahawa zisizo na afya ya kuzalisha.
11)-Tiba ya fugus
Chanzo:
Dr. William
Mtanzania (Usa America) Kwa maoni ya wadau. TAHADHARI: Matumizi yoyote waone wataalamu wakusaidie, vinginevyo ukiitumia ni kwa hatari yako mwenyewe na sisi hatutahusika kwayo. (It's for your own risk)
tafadhali like, share pia: comment kama unayafahamu na yanavyotumika ili wengine nao wapate maarifa uliyonayo. (Africa tuna kila kitu basi tu hatujikubali)
No comments:
Post a Comment